Yeremia 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Je! Hukujipatia mambo haya mwenyewe, kwa kuwa umemwacha BWANA, Mungu wako, alipokuongoza njiani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Israeli, je, hayo yote si umejiletea mwenyewe, kwa kuniacha mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekuwa ninakuongoza njiani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Israeli, je, hayo yote si umejiletea mwenyewe, kwa kuniacha mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekuwa ninakuongoza njiani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Israeli, je, hayo yote si umejiletea mwenyewe, kwa kuniacha mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekuwa ninakuongoza njiani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Je, hukujiletea hili wewe mwenyewe kwa kumwacha Mwenyezi Mungu, Mungu wako alipowaongoza njiani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Je, hukujiletea hili wewe mwenyewe kwa kumwacha bwana, Mungu wako alipowaongoza njiani? Tazama sura |