Yeremia 18:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Wakati wowote nitakapotoa habari za taifa, na habari za ufalme, kuung'oa, na kuuvunja, na kuuangamiza; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wakati wowote nitakapotoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalingoa na kulivunja na kuliangamiza, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wakati wowote nitakapotoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitalingoa na kulivunja na kuliangamiza, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wakati wowote nitakapotoa tamko kuhusu taifa au ufalme kwamba nitaling'oa na kulivunja na kuliangamiza, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Wakati wowote nitatangaza kuwa taifa au ufalme utang’olewa, utaangushwa na kuangamizwa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ikiwa wakati wowote nikitangaza kuwa taifa au ufalme utang’olewa, utaangushwa na kuangamizwa, Tazama sura |