Yeremia 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA, Ambaye BWANA ni tumaini lake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 “Abarikiwe mtu anayemtegemea Mwenyezi-Mungu, mtu ambaye Mwenyezi-Mungu ndiye tegemeo lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 “Abarikiwe mtu anayemtegemea Mwenyezi-Mungu, mtu ambaye Mwenyezi-Mungu ndiye tegemeo lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 “Abarikiwe mtu anayemtegemea Mwenyezi-Mungu, mtu ambaye Mwenyezi-Mungu ndiye tegemeo lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “Lakini amebarikiwa mtu anayemtumaini Mwenyezi Mungu, ambaye matumaini yake ni katika Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika bwana, ambaye matumaini yake ni katika bwana. Tazama sura |