Yeremia 17:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 na wakati huo watoto wao wazikumbuka madhabahu zao, na maashera yao, karibu na miti yenye majani mabichi juu ya milima mirefu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 wakati watu wake wanakumbuka madhabahu zao na sanamu za mungu wa kike, Ashera, zilizowekwa kando ya miti mibichi juu ya vilele vya vilima, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 wakati watu wake wanakumbuka madhabahu zao na sanamu za mungu wa kike, Ashera, zilizowekwa kando ya miti mibichi juu ya vilele vya vilima, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 wakati watu wake wanakumbuka madhabahu zao na sanamu za mungu wa kike, Ashera, zilizowekwa kando ya miti mibichi juu ya vilele vya vilima, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu zao na nguzo za Ashera kandokando ya miti iliyotanda na juu ya vilima virefu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu zao na nguzo za Ashera, kandokando ya miti iliyotanda na juu ya vilima virefu. Tazama sura |
Kwa maana nilipokuwa nimekwisha kuwaingiza katika nchi ile, ambayo niliuinua mkono wangu kuwapa, wakati huo walipoona kila mlima mrefu, na kila mti wenye majani mengi, walitoa matoleo yao huko, na huko walitoa chukizo la sadaka zao, na huko walifukiza manukato ya kupendeza, na huko walimimina sadaka zao za kunywewa.