Yeremia 17:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mtu apataye mali isiyo halali ni kama kware akusanyaye makinda ambayo hakuyaangua: Wakati wa kilele cha ujana wake itamchopoka, na mwishoni atakuwa mtu mpumbavu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mtu apataye mali isiyo halali ni kama kware akusanyaye makinda ambayo hakuyaangua: Wakati wa kilele cha ujana wake itamchopoka, na mwishoni atakuwa mtu mpumbavu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mtu apataye mali isiyo halali ni kama kware akusanyaye makinda ambayo hakuyaangua: wakati wa kilele cha ujana wake itamchopoka, na mwishoni atakuwa mtu mpumbavu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kama kware aanguaye mayai asiyoyataga, ndivyo alivyo mtu apataye mali kwa njia zisizo za haki. Maisha yake yatakapofika katikati, siku zitamwacha, na mwishoni atabainika kuwa mpumbavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kama kware aanguaye mayai asiyoyataga, ndivyo alivyo mtu apataye mali kwa njia zisizo za haki. Maisha yake yafikapo katikati, siku zitamwacha, na mwishoni atabainika kuwa mpumbavu. Tazama sura |