Yeremia 15:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Nami nitakuokoa kutoka kwa mkono wa watu wabaya, nami nitakukomboa kutoka kwa mkono wao wenye kutisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nitakuokoa mikononi mwa watu waovu, na kukukomboa makuchani mwa wakatili.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nitakuokoa mikononi mwa watu waovu, na kukukomboa makuchani mwa wakatili.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nitakuokoa mikononi mwa watu waovu, na kukukomboa makuchani mwa wakatili.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Nitakuokoa kutoka mikono ya waovu, na kukukomboa kutoka makucha ya watu wakatili.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “Nitakuokoa kutoka mikono ya waovu, na kukukomboa kutoka makucha ya watu wakatili.” Tazama sura |