Yeremia 14:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kwa nini wewe umekuwa kama mtu aliyeshtuka, kama shujaa asiyeweza kuokoa? Lakini wewe, BWANA, u katikati yetu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Utakuwaje kama mtu uliyechanganyikiwa, kama shujaa asiyeweza kusaidia mtu? Lakini wewe ee Mwenyezi-Mungu, u pamoja nasi; sisi twaitwa kwa jina lako, usituache.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Utakuwaje kama mtu uliyechanganyikiwa, kama shujaa asiyeweza kusaidia mtu? Lakini wewe ee Mwenyezi-Mungu, u pamoja nasi; sisi twaitwa kwa jina lako, usituache.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Utakuwaje kama mtu uliyechanganyikiwa, kama shujaa asiyeweza kusaidia mtu? Lakini wewe ee Mwenyezi-Mungu, u pamoja nasi; sisi twaitwa kwa jina lako, usituache.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa, kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa? Wewe uko katikati yetu, Ee Mwenyezi Mungu, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa, kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa? Wewe uko katikati yetu, Ee bwana, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache! Tazama sura |