Yeremia 14:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Ijapokuwa maovu yetu yanatushuhudia, lakini utende wewe kwa ajili ya jina lako, Ee BWANA, maana kurudi nyuma kwetu ni kwingi; tumekutenda dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 “Nao watu wanasema: Ingawa dhambi zetu zashuhudia dhidi yetu, utusaidie ee Mwenyezi-Mungu kwa heshima ya jina lako. Maasi yetu ni mengi, tumetenda dhambi dhidi yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 “Nao watu wanasema: Ingawa dhambi zetu zashuhudia dhidi yetu, utusaidie ee Mwenyezi-Mungu kwa heshima ya jina lako. Maasi yetu ni mengi, tumetenda dhambi dhidi yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 “Nao watu wanasema: Ingawa dhambi zetu zashuhudia dhidi yetu, utusaidie ee Mwenyezi-Mungu kwa heshima ya jina lako. Maasi yetu ni mengi, tumetenda dhambi dhidi yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu, Ee Mwenyezi Mungu, tenda jambo kwa ajili ya jina lako. Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa, nasi tumetenda dhambi dhidi yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu, Ee bwana, tenda jambo kwa ajili ya jina lako. Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa, nasi tumetenda dhambi dhidi yako. Tazama sura |