Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 14:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Naam, kulungu naye uwandani amezaa, Akamwacha mwanawe kwa kuwa hakuna majani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hata kulungu porini anamwacha mtoto wake mchanga, kwa sababu hakuna nyasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hata kulungu kondeni anaacha kinda lake lililotoka kutotolewa kwa sababu hakuna majani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Hata kulungu mashambani anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo kwa sababu hakuna majani.

Tazama sura Nakili




Yeremia 14:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naftali ni ayala aliyefunguliwa; Anatoa maneno mazuri.


Sauti ya BWANA yawazalisha ayala, Na kuiacha misitu wazi; Na ndani ya hekalu lake Wanasema, Utukufu!


Kwa maana maji ya Nimrimu yamekuwa mahali palipoharibika, kwa kuwa majani yamekauka, miche imenyauka, majani mabichi yamekoma.


Jinsi wanyama wanavyougua! Makundi ya ng'ombe yamefadhaika, kwa sababu hawana malisho; naam, makundi ya kondoo yamehangaika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo