Yeremia 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kwa sababu ya nchi iliyopasuka, Kwa kuwa mvua haikunyesha katika nchi, Wakulima wametahayarika, Na kuvifunika vichwa vyao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Wakulima wanahuzunika na kufunika vichwa vyao kwa kuona jinsi ardhi ilivyonyauka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Wakulima wanahuzunika na kufunika vichwa vyao kwa kuona jinsi ardhi ilivyonyauka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Wakulima wanahuzunika na kufunika vichwa vyao kwa kuona jinsi ardhi ilivyonyauka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Ardhi imepasuka nyufa kwa sababu hakuna mvua katika nchi; wakulima wana hofu na wanafunika vichwa vyao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Ardhi imepasuka nyufa kwa sababu hakuna mvua katika nchi; wakulima wana hofu na wanafunika vichwa vyao. Tazama sura |