Yeremia 14:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Naye BWANA akaniambia, Usiwaombee watu hawa wapate heri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Usiwaombee watu hawa fanaka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kisha Mwenyezi Mungu akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kisha bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa. Tazama sura |