Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 13:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Twaa kitambaa kile ulichonunua, kilicho viunoni mwako, kisha ondoka, nenda mpaka mto Frati, ukaufiche huko katika pango la jabali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 “Kichukue kikoi ulichonunua na ambacho umejifunga kiunoni, uende kwenye mto Eufrate na kukificha katika pango mwambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 “Kichukue kikoi ulichonunua na ambacho umejifunga kiunoni, uende kwenye mto Eufrate na kukificha katika pango mwambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 “Kichukue kikoi ulichonunua na ambacho umejifunga kiunoni, uende kwenye mto Eufrate na kukificha katika pango mwambani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 “Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.”

Tazama sura Nakili




Yeremia 13:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kando ya mito ya Babeli ndiko tulikoketi, Tukalia tulipoikumbuka Sayuni.


Nalo neno la BWANA likanijia mara ya pili, kusema,


Uwe na uchungu, utaabike ili uzae, Ee binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu; maana sasa utatoka mjini, nawe utakaa katika mashamba; utafika hata Babeli; huko ndiko utakakookolewa; huko ndiko BWANA atakakokukomboa kutoka kwa mikono ya adui zako.


Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo