Yeremia 13:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 Hiyo ndiyo kura yako, fungu lako ulilopimiwa na mimi, asema BWANA; kwa kuwa umenisahau, na kuutumainia uongo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Mwenyezi-Mungu asema: “Hayo ndiyo yatakayokupata, ndivyo nilivyoamua kukutenda mimi Mwenyezi-Mungu, kwa sababu umenisahau mimi, ukaamini miungu ya uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Mwenyezi-Mungu asema: “Hayo ndiyo yatakayokupata, ndivyo nilivyoamua kukutenda mimi Mwenyezi-Mungu, kwa sababu umenisahau mimi, ukaamini miungu ya uongo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Mwenyezi-Mungu asema: “Hayo ndiyo yatakayokupata, ndivyo nilivyoamua kukutenda mimi Mwenyezi-Mungu, kwa sababu umenisahau mimi, ukaamini miungu ya uongo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Hii ndiyo kura yako, fungu nililokuamulia,” asema Mwenyezi Mungu, “kwa sababu umenisahau mimi na kuamini miungu ya uongo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Hii ndiyo kura yako, fungu nililokuamuria,” asema bwana, “kwa sababu umenisahau mimi na kuamini miungu ya uongo. Tazama sura |