Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 13:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Basi nikanunua kitambaa cha kitani sawasawa na neno la BWANA, nikajivika viunoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Basi, nikaenda, nikanunua kikoi kama alivyoniagiza Mwenyezi-Mungu, nikajifunga kiunoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Basi, nikaenda, nikanunua kikoi kama alivyoniagiza Mwenyezi-Mungu, nikajifunga kiunoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Basi, nikaenda, nikanunua kikoi kama alivyoniagiza Mwenyezi-Mungu, nikajifunga kiunoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama Mwenyezi Mungu alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama bwana alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.

Tazama sura Nakili




Yeremia 13:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;


wakati huo BWANA alinena kwa kinywa cha Isaya, mwana wa Amozi, akisema, Haya, uvue nguo ya magunia viunoni mwako, na viatu vyako miguuni mwako.


Nalo neno la BWANA likanijia mara ya pili, kusema,


Bali wewe, mwanadamu, sikia neno hili ninalokuambia; usiwe wewe mwenye kuasi kama nyumba ile yenye kuasi; funua kinywa chako, ule nikupacho.


Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo