Yeremia 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 BWANA akaniambia hivi, Nenda ukajinunulie kitambaa cha kitani, ukajifunge kiunoni, wala usikitie majini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Nenda ukajinunulie kikoi cha kitani, ukajifunge kiunoni; lakini usikitie majini.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Nenda ukajinunulie kikoi cha kitani, ukajifunge kiunoni; lakini usikitie majini.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Nenda ukajinunulie kikoi cha kitani, ukajifunge kiunoni; lakini usikitie majini.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Hili ndilo Mwenyezi Mungu aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Hili ndilo bwana aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.” Tazama sura |