Yeremia 12:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Hata lini itaomboleza nchi, na kukauka majani ya nchi yote? Kwa ajili ya mabaya yao wakaao ndani yake, wanyama wameangamia na ndege pia; kwa sababu walisema, Yu kipofu katika njia zetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mpaka lini nchi itaomboleza kwa ukame, na nyasi za mashamba yote kunyauka? Wanyama na ndege wanakufa kwa uovu wa wakazi wake; wanasema: “Mungu hataona mwisho wetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mpaka lini nchi itaomboleza kwa ukame, na nyasi za mashamba yote kunyauka? Wanyama na ndege wanakufa kwa uovu wa wakazi wake; wanasema: “Mungu hataona mwisho wetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mpaka lini nchi itaomboleza kwa ukame, na nyasi za mashamba yote kunyauka? Wanyama na ndege wanakufa kwa uovu wa wakazi wake; wanasema: “Mungu hataona mwisho wetu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza hadi lini, na majani katika kila shamba kunyauka? Kwa sababu wale wanaoishi ndani yake ni waovu, wanyama na ndege wameangamia. Zaidi ya hayo, watu wanasema, “Mwenyezi Mungu hataona yatakayotupata sisi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini, na majani katika kila shamba kunyauka? Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu, wanyama na ndege wameangamia. Zaidi ya hayo, watu wanasema, “bwana hataona yatakayotupata sisi.” Tazama sura |