Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 10:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Ee BWANA, najua ya kuwa njia ya mwanadamu haimo katika nafsi yake; kuelekeza hatua zake si katika uwezo wa mwanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Najua, ee Mwenyezi-Mungu, binadamu hana uwezo na maisha yake; hakuna mtu awezaye kuyaongoza maisha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Najua, ee Mwenyezi-Mungu, binadamu hana uwezo na maisha yake; hakuna mtu awezaye kuyaongoza maisha yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Najua, ee Mwenyezi-Mungu, binadamu hana uwezo na maisha yake; hakuna mtu awezaye kuyaongoza maisha yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Ninajua, Ee Mwenyezi Mungu, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe; hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Ninajua, Ee bwana, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe; hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.

Tazama sura Nakili




Yeremia 10:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA, Naye huipenda njia yake.


Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu; Bali jawabu la ulimi hutoka kwa BWANA.


Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.


Mwenendo wa mtu watoka kwa BWANA; Basi, awezaje mtu kuelewa na njia yake?


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Njia yake mwenye haki ni unyofu; Wewe uliye mnyofu wainyosha njia ya mwenye haki.


Bali umejiinua juu ya Bwana wa mbingu; nao wamevileta vyombo vya nyumba yake mbele yako; na wewe, na wakuu wako, na wake zako, na masuria wako, mmevinywea; nawe umeisifu miungu ya fedha na ya dhahabu na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe; wasioona, wala kusikia, wala kujua neno lolote; na Mungu yule, ambaye pumzi yako i mkononi mwake, na njia zako zote ni zake, hukumtukuza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo