Yeremia 10:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Kwa sababu wachungaji wamekuwa kama wanyama, wala hawakuuliza kwa BWANA; basi hawakufanikiwa, na makundi yao yote yametawanyika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nami Yeremia nikasema: Wachungaji wamekuwa wajinga, hawakuomba shauri kwa Mwenyezi-Mungu; kwa sababu hiyo, hawakufanikiwa, na kondoo wao wote wametawanyika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nami Yeremia nikasema: Wachungaji wamekuwa wajinga, hawakuomba shauri kwa Mwenyezi-Mungu; kwa sababu hiyo, hawakufanikiwa, na kondoo wao wote wametawanyika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nami Yeremia nikasema: Wachungaji wamekuwa wajinga, hawakuomba shauri kwa Mwenyezi-Mungu; kwa sababu hiyo, hawakufanikiwa, na kondoo wao wote wametawanyika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Wachungaji hawana akili wala hawamuulizi Mwenyezi Mungu, hivyo hawastawi na kundi lao lote la kondoo limetawanyika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Wachungaji hawana akili wala hawamuulizi bwana, hivyo hawastawi na kundi lao lote la kondoo limetawanyika. Tazama sura |