Yeremia 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Maana BWANA asema hivi, Tazama, wakati huu nitawatupa wenyeji wa nchi hii kama kwa kombeo, nitawataabisha, wapate kuona taabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Maana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Wakati huo nitawatupa nje ya nchi hii, nitawataabisha asibaki mtu yeyote.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Maana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Wakati huo nitawatupa nje ya nchi hii, nitawataabisha asibaki mtu yeyote.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Maana Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Wakati huo nitawatupa nje ya nchi hii, nitawataabisha asibaki mtu yeyote.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu wote wanaoishi katika nchi hii; nitawataabisha ili wapate kutekwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa kuwa hili ndilo asemalo bwana: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu wote waishio katika nchi hii; nitawataabisha ili waweze kutekwa.” Tazama sura |