Yeremia 10:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Ni ubatili tu, ni kazi za udanganyifu; Wakati wa kujiliwa kwao watapotea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Havina thamani, ni udanganyifu mtupu; wakati vitakapoadhibiwa vyote vitaangamia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Havina thamani, ni udanganyifu mtupu; wakati vitakapoadhibiwa vyote vitaangamia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Havina thamani, ni udanganyifu mtupu; wakati vitakapoadhibiwa vyote vitaangamia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Ni ubatili tu, vitu vya kufanyia mzaha; wakati wa hukumu yao, wataangamia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu, hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia. Tazama sura |