Yeremia 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Tena neno la BWANA likanijia, kusema, Yeremia, waona nini? Nikasema, Naona ufito wa mlozi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: “Yeremia, unaona nini?” Nami nikasema, “Ninaona tawi la mlozi unaochanua.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: “Yeremia, unaona nini?” Nami nikasema, “Ninaona tawi la mlozi unaochanua.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: “Yeremia, unaona nini?” Nami nikasema, “Ninaona tawi la mlozi unaochanua.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?” Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Neno la bwana likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?” Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.” Tazama sura |