Yakobo 2:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC23 Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki ya Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Kwa njia hiyo likatimizwa andiko lisemalo, “Ibrahimu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki,” naye akaitwa rafiki wa Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo, “Ibrahimu alimwamini Mwenyezi Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki,” naye akaitwa rafiki wa Mwenyezi Mungu. Tazama sura |