Yakobo 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7-8 Kwa hiyo mtu aliye na mashaka, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7-8 Kwa hiyo mtu aliye na mashaka, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7-8 Kwa hiyo mtu aliye na mashaka, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana Isa. Tazama sura |