Wimbo Ulio Bora 8:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Kama akiwa tu ukuta, Tumjengee buruji za fedha; Na kama akiwa ni mlango, Tumhifadhi kwa mbao za mierezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kama angalikuwa ukuta, tungalimjengea mnara wa fedha; na kama angalikuwa mlango, tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mwerezi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi. Tazama sura |