Wimbo Ulio Bora 8:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Mimi nilikuwa ukuta, Na matiti yangu kama minara; Ndipo nikawa machoni pake Kama mtu aliyeipata amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mimi nalikuwa ukuta, na matiti yangu kama minara yake. Machoni pake nalikuwa kama mwenye kuleta amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mimi nalikuwa ukuta, na matiti yangu kama minara yake. Machoni pake nalikuwa kama mwenye kuleta amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mimi nalikuwa ukuta, na matiti yangu kama minara yake. Machoni pake nalikuwa kama mwenye kuleta amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mimi ni ukuta, nayo matiti yangu ni kama minara. Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake kama yule anayeleta utoshelevu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mimi ni ukuta, nayo matiti yangu ni kama minara. Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake kama yule anayeleta utoshelevu. Tazama sura |