Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wimbo Ulio Bora 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Kimo chako kimefanana na mtende, Na matiti yako na vichala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Umbo lako lapendeza kama mtende, matiti yako ni kama shada za tende.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Umbo lako lapendeza kama mtende, matiti yako ni kama shada za tende.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Umbo lako lapendeza kama mtende, matiti yako ni kama shada za tende.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Umbo lako ni kama la mtende, nayo matiti yako kama vishada vya matunda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Umbo lako ni kama la mtende, nayo matiti yako kama vishada vya matunda.

Tazama sura Nakili




Wimbo Ulio Bora 7:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki atastawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni.


Mpendwa wangu ni kama mfuko wa manemane Ukilazwa usiku maziwani mwangu.


Tazama, u mzuri, mpenzi wangu, U mzuri, macho yako ni kama ya hua.


Matiti yako mawili ni kama wanapaa wawili, Nyuma ya barakoa yako. Ambao ni mapacha ya paa; Wakilisha penye nyinyoro.


Matiti yako mawili ni kama wanapaa wawili, Ambao ni mapacha ya paa;


Jinsi yalivyo mazuri, yalivyo matamu, Mapenzi katikati ya anasa!


Nilisema, Nitapanda huo mtende, Na kuyashika makuti yake. Matiti yako na yawe kama vichala vya mzabibu, Na harufu ya pumzi yako kama mapera;


Kwetu sisi tuna dada mdogo, Wala hana matiti; Tumfanyieje dada yetu, Siku atakapoposwa?


Furahini pamoja na Yerusalemu, shangilieni kwa ajili yake, ninyi nyote mmpendao; furahini pamoja naye kwa furaha, ninyi nyote mliao kwa ajili yake;


Mfano wao ni mfano wa mtende, kazi ya cherehani, hawasemi; hawana budi kuchukuliwa, kwa sababu hawawezi kwenda. Usiwaogope; kwa maana hawawezi kutenda uovu, wala hawana uwezo wa kutenda mema.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo