Wimbo Ulio Bora 5:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Mikono yake ni kama mianzi ya dhahabu, lliyopambwa kwa zabarajadi; Kiwiliwili chake kama kazi ya pembe, Iliyonakishiwa kwa yakuti samawi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu, amevalia johari za Tarshishi. Kiwiliwili chake ni kama pembe za ndovu zilizopambwa kwa vito vya johari ya rangi ya samawati. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu, amevalia johari za Tarshishi. Kiwiliwili chake ni kama pembe za ndovu zilizopambwa kwa vito vya johari ya rangi ya samawati. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu, amevalia johari za Tarshishi. Kiwiliwili chake ni kama pembe za ndovu zilizopambwa kwa vito vya johari ya rangi ya samawati. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyong’arishwa iliyopambwa na yakuti samawi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyong’arishwa iliyopambwa na yakuti samawi. Tazama sura |