Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wimbo Ulio Bora 2:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Akanileta mpaka nyumba ya karamu, Na bendera yake juu yangu ni mapenzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Alinichukua hadi ukumbi wa karamu, akatweka bendera ya mapenzi juu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Alinichukua hadi ukumbi wa karamu, akatweka bendera ya mapenzi juu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Alinichukua hadi ukumbi wa karamu, akatweka bendera ya mapenzi juu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Amenichukua hadi ukumbi wa karamu, na bendera ya huyu mwanaume juu yangu ni upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu, na bendera ya huyu mwanaume juu yangu ni upendo.

Tazama sura Nakili




Wimbo Ulio Bora 2:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akaondoka kwa ghadhabu kutoka kwenye karamu ya divai, akaingia bustani ya ngome. Hamani naye akasimama ili ajitakie maisha yake kwa malkia Esta; kwa kuwa aliona ya kwamba amekusudiwa madhara na mfalme.


Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi.


Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. BWANA akutimizie matakwa yako yote.


Umewapa wakuogopao bendera, Ili itwekwe kwa ajili ya kweli.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


Wimbo ulio bora, wa Sulemani.


Nivute nyuma yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza vyumbani mwake. Tutafurahi na kukushangilia; Tutalinena pendo lako kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Mpenzi wangu, u mzuri kama Tirza, Mwenye kupendeza kama Yerusalemu, Wa kutisha kama jeshi lenye bendera.


Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa makabila ya watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.


Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo