Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wimbo Ulio Bora 1:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kubusu na anibusu kwa kinywa chake. Maana pendo lako lapita divai;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Heri midomo yako inibusu, maana pendo lako ni bora kuliko divai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Heri midomo yako inibusu, maana pendo lako ni bora kuliko divai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Heri midomo yako inibusu, maana pendo lako ni bora kuliko divai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.

Tazama sura Nakili




Wimbo Ulio Bora 1:2
20 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akambusu Raheli, akalia kwa sauti.


Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye.


Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.


Nivute nyuma yako, na tukimbie; Mfalme ameniingiza vyumbani mwake. Tutafurahi na kukushangilia; Tutalinena pendo lako kuliko divai; Ndiyo, ina haki wakupende.


Akanileta mpaka nyumba ya karamu, Na bendera yake juu yangu ni mapenzi.


Jinsi pendo lako lilivyo nzuri, dada yangu, Bibi arusi, ni nzuri kupita divai; Na harufu ya marhamu yako Yapita manukato ya kila namna.


Kinywa chake kimejaa maneno matamu, Ndiye mzuri sana kwa ujumla. Ni huyu mpendwa wangu, ni huyu rafiki yangu, Enyi binti za Yerusalemu.


Twende mapema hadi mashamba ya mizabibu, Tuone kama mzabibu umechanua, Na maua yake yamefunuka; Kama mikomamanga imetoa maua; Huko nitakupa upendo wangu.


Jinsi yalivyo mazuri, yalivyo matamu, Mapenzi katikati ya anasa!


Na kinywa chako kama divai iliyo bora, Kwa mpendwa wangu inashuka taratibu, Ikitiririka midomoni mwao walalao.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.


Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu


Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.


Tulipomaliza safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai, tukawaamkua ndugu tukakaa kwao siku moja.


Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo