Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Wimbo Ulio Bora 1:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Mpendwa wangu ni kama mfuko wa manemane Ukilazwa usiku maziwani mwangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mpenzi wangu ni kama mfuko wa manemane kwangu, kati ya matiti yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mpenzi wangu ni kama mfuko wa manemane kwangu, kati ya matiti yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mpenzi wangu ni kama mfuko wa manemane kwangu, kati ya matiti yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.

Tazama sura Nakili




Wimbo Ulio Bora 1:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli, baba yao, akawaambia, Kama ndivyo, fanyeni hivi; twaeni tunu za nchi katika vyombo vyenu, mkamchukulie mtu huyo zawadi, zeri kidogo, na asali kidogo, ubani, na manemane, na jozi, na lozi.


Mavazi yako yote hunukia manemane Na udi na mdalasini. Katika majumba ya pembe Vinubi vimekufurahisha.


Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.


Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.


Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?


Nardo na zafarani, mchai na mdalasini, Na miti yote iletayo ubani, Manemane na udi, na kolezi kuu zote.


Amka, kaskazi; nawe uje, kusi; Vumeni juu ya bustani yangu, Manukato ya bustani yatokee. Mpendwa wangu na aingie bustanini mwake, Akayale matunda yake mazuri.


Hata jua lipunge, na vivuli vikimbie, Nitakwenda kwenye mlima wa manemane, Na kwenye kilima cha ubani.


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Mashavu yake ni kama matuta ya rihani Ambayo hufanyizwa manukato; Midomo yake ni kama nyinyoro, Inadondosha matone ya manemane;


Nikaondoka nimfungulie mpendwa wangu; Mikono yangu ilidondosha manemane, Na vidole vyangu matone ya manemane, Penye vipini vya komeo.


Akaenda Nikodemo naye, (yule aliyemwendea usiku hapo kwanza), akaleta mchanganyiko wa manemane na uudi, yapata ratili mia.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo