Waroma 9:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 bali Israeli wakiifuata sheria ya haki hawakuifikia ile sheria. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 hali watu wa Israeli ambao walitafuta sheria ya kuwafanya kuwa waadilifu, hawakuipata. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 hali watu wa Israeli ambao walitafuta sheria ya kuwafanya kuwa waadilifu, hawakuipata. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 hali watu wa Israeli ambao walitafuta sheria ya kuwafanya kuwa waadilifu, hawakuipata. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kupitia kwa sheria, hawakuipata. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata. Tazama sura |