Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 9:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Kwa maana Bwana atalitekeleza neno lake juu ya nchi, akilimaliza na kulikata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ataitekeleza hukumu yake duniani kwa haraka na kwa ukamilifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ataitekeleza hukumu yake duniani kwa haraka na kwa ukamilifu.”

Tazama sura Nakili




Waroma 9:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mambo ya kutisha utatujibu, Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu. Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia, Na la bahari iliyo mbali sana,


Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa uadilifu.


Maana watu wako, Ee Israeli, wajapokuwa wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki tu watakaorudi; kuangamiza kumekusudiwa, kunakofurika kwa haki.


Kwa maana Bwana, BWANA wa majeshi, atayatimiza maangamizo yaliyokusudiwa katika nchi yote.


Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.


bali BWANA wa majeshi ametukuzwa katika hukumu, na Mungu aliye Mtakatifu ametakaswa katika haki.


Kwa kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo