Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 9:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyoisha moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Nataka kusema hivi: Nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Nataka kusema hivi: Nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nina huzuni kuu na uchungu usiokoma moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nina huzuni kuu na uchungu usiokoma moyoni mwangu.

Tazama sura Nakili




Waroma 9:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yachuruzika mito ya machozi, Kwa sababu hawaitii sheria yako.


Furahini pamoja na Yerusalemu, shangilieni kwa ajili yake, ninyi nyote mmpendao; furahini pamoja naye kwa furaha, ninyi nyote mliao kwa ajili yake;


Bali kama hamtaki kusikia, roho yangu italia kwa siri, kwa sababu ya kiburi chenu; na jicho langu litalia sana na kutoka machozi mengi, kwa kuwa kundi la BWANA limechukuliwa mateka.


Laiti kichwa changu kingekuwa maji, na macho yangu kuwa chemchemi ya machozi, ili nipate kulia mchana na usiku kwa ajili yao waliouawa wa binti ya watu wangu!


Je! Si kitu kwenu, enyi nyote mpitao njia, Angalieni, mtazame Kama kuna majonzi yoyote mfano wa majonzi yangu, Niliyotendwa mimi, Ambayo BWANA amenihuzunisha kwa hayo Siku ya hasira yake iwakayo.


Jicho langu lanitia huzuni nafsini mwangu, Kwa ajili ya kuangamizwa kwa binti wa watu wangu.


BWANA akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, ukatie alama katika vipaji vya nyuso vya watu wanaopiga kite na kulia kwa sababu ya machukizo yote yanayofanyika kati yake.


Ndugu zangu, nitakayo sana moyoni mwangu, na dua yangu nimwombayo Mungu, ni kwa ajili yao, ili waokolewe.


Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu,


Kwa maana ningeweza kuomba mimi mwenyewe niharimishwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, jamaa zangu kwa jinsi ya mwili;


Maana wengi huenda, ambao nimewaambieni mara nyingi habari zao, na sasa nawaambia hata kwa machozi, kuwa ni adui za msalaba wa Kristo;


Nami nitawaruhusu mashahidi wangu wawili, nao watatoa unabii siku elfu na mia mbili na sitini, wakiwa wamevikwa magunia.


Wala Samweli hakuenda tena kuonana na Sauli hata siku ya kufa kwake; lakini Samweli alikuwa akimlilia Sauli; naye BWANA akaghairi ya kuwa amemtawaza Sauli awe mfalme juu ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo