Waroma 9:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu. Tazama sura |