Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 9:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu? La, hasha!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu? La, hasha!

Tazama sura Nakili




Waroma 9:14
18 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Ni haki yangu mbele za Mungu,


Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?


BWANA ni mwenye haki katika njia zake zote, Na mwenye huruma katika matendo yake yote.


Watangaze ya kuwa BWANA ni mwenye adili, Mwamba wangu, ndani yake hamna udhalimu.


Wewe u mwenye haki, Ee BWANA, nitetapo nawe, lakini nitasema nawe katika habari ya haki. Mbona njia ya wabaya inasitawi? Mbona wote watendao hila wanakaa salama?


Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia hayo walisema, Hasha! Yasitukie haya!


kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.


Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,


Basi Myahudi ana nini zaidi? Na kutahiriwa kwafaa nini?


Tuseme nini, basi? Ya kwamba watu wa Mataifa, wasioifuata haki, walipata haki; lakini ni ile haki iliyo ya imani;


Yeye Mwamba, kazi yake ni kamilifu; Maana, njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, asiye na uovu, Yeye ndiye mwenye haki na adili.


Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo