Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 9:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”

Tazama sura Nakili




Waroma 9:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaona ya kwamba Lea hakupendwa, naye akafungua tumbo lake; bali Raheli alikuwa hazai.


Akapata mimba tena akazaa mwana, akasema, Kwa kuwa BWANA amesikia ya kwamba mimi sikupendwa, amenipa na huyu; akamwita jina lake Simeoni.


Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.


Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.


Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.


Ikiwa mtu ana wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo