Waroma 8:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Basi, kama ni hivyo, ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili, Tazama sura |