Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 8:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Basi, kama ni hivyo, ndugu, tu wadeni, si wa mwili tuishi kwa kufuata mambo ya mwili,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

Tazama sura Nakili




Waroma 8:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.


kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo