Waroma 7:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mwanzoni nilikuwa hai pasipo sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ikawa hai, nami nikafa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Wakati fulani nilikuwa hai pasipo sheria, lakini amri ilipokuja, dhambi ikawa hai, nami nikafa. Tazama sura |