Waroma 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Tusemeje, basi? Torati ni dhambi? La hasha! Lakini singalitambua dhambi ila kwa sheria; kwa kuwa singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Je, tuseme basi, kwamba sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Je, tuseme basi, kwamba sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Je, tuseme basi, kwamba sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama sheria isingalikuwa imesema: “Usitamani.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Tuseme nini basi? Kwamba Torati ni dhambi? La, hasha! Lakini singejua dhambi isipokuwa kwa sababu ya Torati. Singejua kutamani ni nini kama Torati haikusema, “Usitamani.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Tuseme nini basi? Kwamba Torati ni dhambi? La, hasha! Lakini, isingekuwa kwa sababu ya Torati, nisingalijua dhambi. Nisingalijua kutamani ni nini kama Torati haikusema, “Usitamani.” Tazama sura |