Waroma 7:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema. Tazama sura |