Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 7:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Hivyo basi, Torati yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

Tazama sura Nakili




Waroma 7:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Tena ulishuka juu ya mlima Sinai, ukasema nao toka mbinguni, ukawapa hukumu za haki, na sheria za kweli, na amri nzuri na maagizo;


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Ee BWANA, Wewe ndiwe mwenye haki, Na hukumu zako ni za adili.


Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.


Ulimi wangu na uiimbe ahadi yako, Maana maagizo yako yote ni ya haki.


Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Iliyo ya wanaokucha.


Amri zako zote ni za kudumu, Ninateswa bila sababu, nisaidie!


Wala msifuate kanuni za dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? La hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria.


Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.


Na sasa, Israeli, BWANA, Mungu wako, anataka nini kwako, ila umche BWANA, Mungu wako, na kwenda katika njia zake zote, na kumpenda, na kumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote;


Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo?


Lakini twajua ya kuwa sheria ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia iliyo halali;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo