Waroma 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa maana dhambi, kwa kupata nafasi kwa ile amri, ilinidanganya, na kwa hiyo ikaniua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa maana dhambi kwa kupata nafasi katika amri, ilinidanganya, na kupitia katika hiyo amri, ikaniua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa maana dhambi kwa kupata nafasi katika amri, ilinidanganya, na kupitia katika hiyo amri, ikaniua. Tazama sura |