Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 7:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Nikaona ya kuwa ile amri iletayo uzima kwangu mimi ilileta mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

Tazama sura Nakili




Waroma 7:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nikawapa amri zangu, na kuwaonesha hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda.


Lakini nyumba ya Israeli waliniasi jangwani; hawakuenda katika amri zangu, wakazikataa hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda; na sabato zangu walizitia unajisi sana; ndipo nikasema, Nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani, ili niwaangamize.


Lakini watoto hao waliniasi; hawakuenda katika amri zangu, wala hawakuzishika hukumu zangu kuzitenda, ambazo mwanadamu ataishi kwazo kama akizitenda; walizitia unajisi sabato zangu, ndipo nikasema, kwamba nitamwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiza hasira yangu juu yao jangwani.


Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA.


Kwa maana Musa aliandika juu ya haki itokayo kwa sheria, ya kuwa, Mtu afanyaye hiyo ataishi kwa hiyo.


Kwa sababu sheria ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipokuwapo sheria, hapana kosa.


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


Basi, ikiwa huduma ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni utukufu uliokuwa ukibatilika;


Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo