Waroma 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ndugu zangu, hamjui (maana nasema na hao waijuao sheria) ya kuwa torati humtawala mtu wakati anapokuwa yu hai? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ndugu zangu, sasa ninasema na wale wanaoijua Torati: Je, hamjui kwamba Torati ina mamlaka juu ya mtu wakati akiwa hai tu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ndugu zangu (sasa ninasema na wale wanaoijua Torati), je, hamjui ya kwamba Torati ina mamlaka tu juu ya mtu wakati akiwa hai? Tazama sura |