Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 na kazi ya subira ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

Tazama sura Nakili




Waroma 5:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi nitakutumainia daima, Nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.


Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu.


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


Ila mwajua sifa yake, ya kuwa ametumika pamoja nami kwa ajili ya Injili, kama mwana na baba yake.


tuliyo nayo kama nanga ya roho, yenye salama, yenye nguvu, yaingiayo hata mle mlimo ndani ya pazia,


Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji la uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawaimarisha, atawathibitisha, atawatia nguvu na kuwapa msingi imara.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo