Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Heri mtu yule Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Heri mtu yule Mwenyezi Mungu hamhesabii dhambi zake.”

Tazama sura Nakili




Waroma 4:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake.


Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; akauawa kimwili, lakini akahuishwa kiroho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo