Waroma 4:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kama vile Daudi ainenavyo heri yake mtu yule ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu yule ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena kuhusu baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo: Tazama sura |