Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

Tazama sura Nakili




Waroma 4:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?


Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema.


wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;


Kwa sababu gani? Kwa sababu hawakuifuata kwa njia ya imani, bali kana kwamba kwa njia ya matendo. Wakajikwaa juu ya jiwe lile likwazalo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo