Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 4:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Inaposemwa, “Alimkubali,” haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

Tazama sura Nakili




Waroma 4:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo