Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 4:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

Tazama sura Nakili




Waroma 4:22
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.


Maana Maandiko yasemaje? Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.


Kama vile Daudi ainenavyo heri yake mtu yule ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo