Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 3:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Hasha! Kwa maana hapo Mungu atawezaje kuuhukumu ulimwengu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angewezaje kuhukumu ulimwengu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu?

Tazama sura Nakili




Waroma 3:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Je! Mungu hupotosha hukumu? Au, huyo Mwenyezi hupotosha yaliyo ya haki?


Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.


Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa uadilifu.


Mbele za BWANA, kwa maana anakuja, Kwa maana anakuja aihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na mataifa kwa uaminifu wake.


Mbele za BWANA; Kwa maana anakuja kuihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa uaminifu, Na mataifa kwa adili.


Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia hayo walisema, Hasha! Yasitukie haya!


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.


Basi, je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? La hasha! Kinyume cha hayo twaithibitisha sheria.


La hasha! Mungu aonekane kuwa kweli japo kila mtu ni mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulikane kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo